Sasa unaweza kuchagua bidhaa yoyoyte kisha ukailipia kidogokidogo hadi miezi miwili bila RIBA yoyote.

VIGEZO VYA HUDUMA HII

1.Malipo ya mwanzo yasiyopungua 45% ya thamani ya bidhaa/mali husika

2.Bidhaa itachukuliwa baada ya malipo yote kukamilika

3.Endapo malipo hayatotimia kwa kipindi husika (Miezi Miwili) 40% itakatwa kwenye kiasi kilicholipwa na 60% atarejeshewa mteja.

4. Jaza fomu hapo chini kikamilifu ili kujisajili na huduma hii.

JAZA FOMU HAPA

(Mkoa, Wilaya na Mtaa unaoishi kwa sasa)
Separate email addresses with a comma.

Kwa maelezo zaidi bonyeza HAPA